| 
Waamuzi na wachezaji wakiingia uwanja wa Amaan kuanza mchezo ambao Bandari waliibuka washindi wa mabao 3-2. | 
| Wachezaji wa Timu za Bandari na Malindi wakiingia katika uwanja wa Amaan mjini Zanzibar jana kwa ajili ya kuanza pambano. | 
| Timu ya Bandari wakiomba dua. | 
| Timu ya Malindi wakiomba dua. | 
| Mshambuliaji Samir Khamis wa timu ya Malindi (No.8) akiwania mpira na mlinzi wa Bandari, Kassim hariri jana kwenye uwanja wa Amaan ambapo Bandari ilishinda mabao 3 - 2. | 
| Mshambuliaji Amour Omar wa timu ya Bandari akiwa tayari kupiga shuti huku Samir Khamis wa Malindi (kulia) akiwa makini kumzuia. Hadi mwisho wa mchezo, Bandari 3 Malindi 2. | 
| Mchezaji wa timu ya Malindi, Rajabu Rashid akipiga penalti na kuifungia timu yake bao la kwanza. Picha zote na Intellectuals Communications Limited | 
 
 
 
No comments:
Post a Comment