![]() |
| Msafara wa magari ya kuleta mwili wa marehemu Liberatus Ballow yakiingia katika uwanja wa Nyamagana ili viongozi na wananchi mbalimbali wapate kuuaga mwili huo. |
![]() |
Maaskari walioteuliwa kubeba mwili wa marehemu Liberatus Ballow wakiwa wamejipanga vyema ili mwili uweze kutolewa ndani ya gari ili uwekwe sehemu nzuri ambayo kila mtu anaweza kuuaga vizuri.
|
![]() |
| Hapa wakiushusha kutoka ndani ya gari ili waweze kuubeba. |
![]() |
Safari ya kuelekea sehemu maalum iliyopangwa kwa ajili ya mwili wa marehemu ilianza hivi.
|
![]() |
| Viongozi mbalimbali wa Kiserikali wakisimama kwa dakika chache kuupa heshima mwili wa marehemu kamanda Liberatus Ballow. |
![]() |
| Baadhi ya Maafisa ya Jeshi la Polisi waliofika uwanjani hapo. |
![]() |
| Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Liberatus Ballow. |
![]() |
| Maafisa wa Polisi wakitoa saluti kwa Marehemu Kamanda wa Mkoa wa Mwanza Liberatus Ballow wakitoa heshima za mwisho. |
![]() |
| Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Joyce Masunga akiweka saini katika daftari la maombolezo katika msiba wa marehemu kamanda Liberatus Ballow katika uwanja wa Nyamagana. |
![]() |
| Wanafamilia wa marehemu wakiwa na majonzi makubwa sana katika uwanja wa Nyamagana wakati wa kuuaga mwili wa mpendwa wao Liberatus Ballow.Picha kwa Hisani ya B Plus Blog |















No comments:
Post a Comment