Tangazo

May 17, 2013

Dk Ferdinand Masau Wa Taasisi ya Moyo Tanzania (Tanzania Heart Institute (THI) Afariki Dunia

Dk. Masau enzi za uhai wake.
 Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana katika chumba cha habari cha daily Mitikasi Blog zinadai kuwa Muasisi wa taasisi ya Moyo Tanzania (Tanzania Heart Institute-THI), Dk. Ferdinand Masau amefariki dunia jana katika hospitali ya Agha Khan.

Tanzania Heart Institute (THI) ya Dkt. Masau enzi hizo.

No comments: