Tangazo

May 21, 2013

Rais Kikwete aongoza mamia katika mazishi ya Mzee Ally Kleist Sykes

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali, Rais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa, Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kianana wakiungana na mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Mzee Ally Kleist Sykes, mmoja wa waasisi wa chama cha TANU, katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam Mei 20, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Mzee Ally Kleist Sykes, mmoja wa waasisi wa chama cha TANU, katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam Mei 20, 2013. PICHA NA IKULU


No comments: