Wafanyakazi wakiendelea na kazi ya uchomeaji wa bomba la gesi. |
Kazi ya uunganishaji wa bomba la gesi ikiendelea. |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akizungumza na waandishi wa habari juu ya hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa bomba la gesi ikiwa ni pamoja na ukamilishwaji wake. |
No comments:
Post a Comment