Tangazo

September 15, 2014

USIKU MAALUM WA BIRTHDAY YA MR. JACK’S A.K.A JACK DANIEL’S ULIOPAMBWA NA SKYLIGHT BAND

DSC_0002
Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji mvinyo na vinywaji vikali kikiwemo kinywaji cha Jack Daniel's akitoa maelezo ya kinywaji cha Jack Daniel's kwa mashabiki wa Skylight Band waliokuwa wakikaribishwa na SHOT za Mr. Jack's kwenye usiku maalum wa kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa Mr. Jack's a.k.a Jack Daniel's.
DSC_0014
Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji kinywaji cha Jack Daniel's akizungumza na mashabiki wa Skylight Band kuhusina na kinywaji hicho kikali cha Mr. Jack's (Jack Daniel's) ambacho hakina Hang Over na harufu mbaya mdomoni na kukufanya ujisikie mwenye furaha wakati wote.
DSC_0017
Kaunta ya Mr. Jack's a.k.a Jack Daniel's ikisimamiwa na Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji kinywaji cha Jack Daniel's.
DSC_0042
Cheers to you Mr. Photographer.....wageni wakiendelea kupata SHOT za Mr. Jack's.
DSC_0045
Baadhi ya brand za Mr.Jacks' zenye ujazo tofauti zikiwa zimepambwa kwenye kaunta maalum.
DSC_0049
Mwanamanyoya akishow love na Mr.Jack's.
DSC_0051
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akishangaa kuona brand mbalimbali zakuvutia za Mr. Jack's.
DSC_0081
Mashabiki wa Skylight Band wakiendelea kufurahia SHOT za Mr.Jack's.
DSC_0171
DSC_0210
DSC_0135
Mkurugenzi Mtendaji wa Skylight Entertainment Dr. Sebastian Ndege(mwenye kofia) akiwapa tano baadhi ya mashabiki wa Skylight Band kwenye kaunta ya Mr.Jack's iliyokuwa inatoa fursa kwa mashabiki wa band hiyo kupata SHOT za bure za Jack Daniel's.
DSC_0131
Team Wanamanyoya wakipata Ukodak na tabasamu bashasha baada ya kupata SHOT za Mr.Jack's anayeonyesha upendo kwa wadau wa kinywaji hicho.
DSC_0053
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akishow love na Mr.Jack's a.k.a Jack Daniel's.
DSC_0066
Sam Mapenzi wa Skylight Band akipata ukodak kwenye sehemu maalum yakumwandikia ujumbe wa kumtakia maisha mema Mr. Jack's a.k.a Jack Daniel's anayezaliwa mwezi huu wa tisa.
DSC_0059
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akiandika ujumbe maalum wa kumtaki birthday njema Mr. Jack's.
DSC_0143
Pichani juu na chini ni baadhi ya mashabiki wa Skylight Band wakipata ukodak kwenye bango la Mr. Jack's
DSC_0146
Kwa picha zaidi ingia hapa

No comments: