Tangazo

October 4, 2014

NSSF YADHAMINI NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA CHAMA CHA MAAFISA RASILIMALI WATU

Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigo akitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja na Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali lililofanyika kwenye Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.
Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigo akitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja na Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali lililofanyika kwenye Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.
Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigo akitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja na Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali lililofanyika kwenye Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mafao Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Julieth Chalamira akifafanua jambo kwa washiriki wa kongamano la HRSTA Panorama kuhusu faida za kujiunga na NSSF.
Ofisa Uhusiano wa NSSF, Kiamba Rajabu (kushoto), akitoa maelezo ya huduma za NSSF kwa washiriki wa kongamano la HRSTA Panorama lililofanyika jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mafao Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Julieth Chalamira akifafanua jambo kwa washiriki wa kongamano la HRSTA Panorama kuhusu faida za kujiunga na NSSF.
Washiriki wa kongamano hilo wakichukua vipeperushi vyenye taarifa zinazohusu mafao yanayotolewa na NSSF. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa NSSF, Kiamba Rajabu.
Ofisa Uhusiano wa NSSF, Kiamba Rajabu (kushoto), akitoa maelezo ya huduma za NSSF kwa washiriki wa kongamano la HRSTA Panorama lililofanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Meneja wa Mafao, James Oigo akitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja na Maafisa Rasilimali kutoka taasisi mbalimbali na kwenye Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa mkutano huo.
Mmoja wa washiriki wa kongamano hilo akiuliza swali.
Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Meneja wa Mafao, James Oigo akitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja na Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali lililofanyika kwenye Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mercy Shumbusho na Gordon Oito.


Na Mwandishi Wetu


Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) yadhamini na kushiriki kongamano la kila mwaka lijulikanalo kama HRSTA Panorama ambalo limefanyika kwenye Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.

Kongamano hilo ambalo hushirikisha Wakurugenzi, Mameneja na Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali nchini lilikuwa na sehemu mbili, moja ikiwa ni maonesho yaliyofanywa na mifuko ya Hifadhi ya Jamii ikiwemo NSSF na pili ikiwa ni mijadala juu ya maendeleo na mabadiliko kwenye Hifadhi ya Jamii Tanzania.

NSSF iliwakilishwa na Meneja wa Mafao, James Oigo kwenye mijadala iliyokuwa ikifanyika kwenye kongamano hilo.

Katika maonesho yaliyokuwa yakiendelea NSSF iliweza kuto elimu kwa washiriki waliotembelea kwenye banda lao juu ya Mafao yatolewayo na NSSF pamoja na mipango mipya ya Hiari Scheme, Wakulima Scheme na Madini Scheme.

No comments: