Tangazo

January 4, 2015

NAMANGA SPORTS CLUB YAUKARIBISHA MWAKA MPYA KWA SHANGWE

Mwakilishi wa Klabu ya Biafra Sports, akitoa nasaha zake wakati wa tafrija ya mkesha kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha Mwaka 2015, iliyoandaliwa na Klabu ya Namanga Sports katika eneo la Namanga jijini Dar es Salaam Desemba 31. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Namanga Sports, Olestick Lembo. PICHA ZOTE/JOHN BADI
Baadhi ya viongozi wa Klabu ya Biafra Sports na Klabu ya Namanga Sports, wakitosti kama ishara ya kuukaribisha mwaka mpya.

Mlezi wa Namanga Sports Club, Mzee Juma (katikati), akisoma dua la kuukaribisha mwaka mpya. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Namanga Sports, Olestick Lembo na Mwenyekiti wa Biafra Sports, Bwana Mollel.

No comments: