Tangazo

January 2, 2015

WAFANYAKAZI WA PPF IDARA YA UENDESHAJI WAFANYA SHEREHE YA KUFUNGA MWAKA JIJINI DAR

Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Assumpta Maina Mallya akifungua sherehe iliyoandaliwa na idara yake kwaajili ya kupongezana kwa kazi za mwaka mzima, sherehe iliyofanyika katika hoteli ya Tiffany jijini Dar Es Salaam Jana.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka idara ya Uendeshaji wakimsikiliza Kwa Makini Mkurugenzi wa Idara hiyo wakati akifungua Sherehe ya Kupongezana kwa Wafanyakazi wa Idara hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Tiffany, Jijini Dar Es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Assumpta Maina Mallya akikata keki kwaajili ya Kuwarisha wafanyakazi wa Idara yake katika Sherehe ya kufunga mwaka iliyoandaliwa na Idara ya uendeshaji na kufanyika katika hoteli ya tiffany Jijini Dar Es Salaam.
Mbaruku Magawa Mratibu wa Ofisi za Kanda za PPF akimrisha Keki Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa PPF, Assumpta Maina Mallya wakati wa sherehe ya kumaliza Mwaka 2014 iliyofanyika Disemba 30, 2014 katika hoteli ya Tiffany.
Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Assumpta Maina Mallya akimlisha Keki mmoja wa Wafanyakazi wa Idara hiyo.
Muda wa Kufungua Shampeni ukawadia BOFYA HAPA KWA MAPICHA ZAIDI»
Cheers kwa Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Assumpta Maina Mallya.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe ya Kufunga mwaka kwa idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Akimpa Zawadi Mkurugenzi wa Idara hiyo Assumpta Maina Mallya katika sherehe ya kufunga Mwaka iliyofanyika Katika Hoteli ya Tiffany Jijini Dar Es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa pensheni wa PPF (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya Pamoja na Kamati ya maandilizi ya sherehe ya kufunga mwaka kwa idara ya Uendeshaji iliyofanyika Katika hoteli ya Tiffany jijini Dar Es Salaam
Wafanyakazi wa Idara ya uendeshaji wa Mfuko wa PPF wakibadilishana mawazo wakati wa sherehe ya kufunga mwaka 2014, sherehe iliyofanyika katika Hoteli ya Tiffany Jijini Dar Es Salaam jana.
 Muda wa Maakuli ukawadia na kila mmoja akajisevia
 
 Muda wa maakuli
Picha Zote na Josephat Lukaza wa http://www.josephatlukaza.com

No comments: