Tangazo

April 9, 2015

Washindi wa Droo ya Mwisho ya 'Airtel Yatosha Zaidi' wakabidhiwa magari yao

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST, kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, Tipwa Rashid Mapunda (kushoto), katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia (kutoka wa pili kushoto) ni washindi wengine wa droo hiyo, William Saimon Sondi na Boutrous Hebron Mwanjali.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kulia), akifurahia jambo na washindi wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, (kutoka kushoto), Tipwa Rashid Mapunda, William Saimon Sondi na Boutrous Hebron Mwanjali, baada ya kuwakabidhi funguo za magari yao aina ya Toyota IST, katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto), akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, William Saimon Sondi katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto), akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, Tipwa Rashid Mapunda katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati) ni mume wa mshindi huyo, Mzee Simon Tawata Mapunda.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto), akimuelekeza jambo mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’ Tipwa Rashid Mapunda, baada ya kumkabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST, katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati) ni mume wa mshindi huyo, Mzee Simon Tawata Mapunda.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto), akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, Boutrous Hebron Mwanjali katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati) ni mke wa mshindi huyo, Hellena na mtoto wao, Alpha.

No comments: