Tangazo

April 9, 2015

Safari ya Mwisho ya Mpiganaji Benard Rwebangira

Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Bernard Rwebangira likiwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba yake ya milele kwenye Makaburi ya Kawe,Jijini Dar es salaam leo.Marehemu Bernard Rwebangira aliwahi kuwa Mpiga picha wa Kampuni ya TSN wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Sunday News pamoja na Habari leo.Mungu aiweke roho ya Marehemu mahapa pema Peponi, Amin. PICHA ZOTE KWA HISANI YA FATHER KIDEVU BLOG
Sehemu ya Ndugu wa Marehemu Bernard Rwebangira wakiwa ni wenye huzuni kubwa kuondokewa na Mpendwa wao, wakati wa Ibada ya kuaga mwili iliyofanyika leo Nyumbani kwao, Mbezi Beach jijini Dar es salaam.
Waombolezaji wakiwa Msibani hapo.
Na hii ndio ilikuwa Safari ya Mwisho ya Mpiganaji Bernard Rwebangira kwenye Makaburi ya Kawe, jijini Dar es Salaam leo.

No comments: