Tangazo

July 20, 2015

ZIARA YA MAGUFULI GEITA

 Mgombea wa Urais kwa kupitia CCM Dk.John Pombe Joseph Magufuli akipata mapokezi ya aina yake wakati akiwasili mkoni Geita.
 Wananchi wakiwa wamefurika kumpokea mgombea wa Urais kwa kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli wakati akiwasili mkoani Geita.
 Mgombea Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Geita wakati akiwasili mkoani hapo
 Mgobea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa Geita
 Mke wa mgombea wa Urais kwa kupitia CCM Janet Magufuli akiwaslimu wakazi wa Geita waliofurika njea ya Ofisi ya CCM mkoa wa Geita kuja kumpokea Dk.John Pombe Magufuli.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa mji mdogo wa Katoro mkoani Geita akiwa njiani kueleka Chato.
 Mgombea wa Urais Dk. John Pombe Magufuli akiwashukuru wananji wa Katoro kwa kujitokeza kwa wingi na kuwaahidi kurudi tena wakati wa kampeni na kuzungumza yale yaliyopo kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM.

 Umati wa wakazi wa Katoro ukimsikiliza mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.


 Mbunge wa Jimbo la Busanda Mhe. Lolesia Bukwimba akiwasalimia wakazi wa Katoro wakati wa kumtambulisha mgombea Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.
 DK. John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa Katoro.

 Umati wa wakazi wa Katoro ukiwa umefurika kumsikiliza mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dk.John Pombe Magufuli akiwaaga wakazi wa mji mdogo wa Katoro .



CHATO


 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa Chato wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa stendi ya zamani.
 Bango lenye ujumbe madhubuti.
 Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Ndugu Miraji Mtaturu akiwasalimu wakazi wa Chato kwenye mkutano wa kumtambulisha mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCm (Bara) Ndugu Rajab Luhwavi akiwasalimu wananchi wa Chato wakati wa mkutano wa kumtambulisha mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa stendi ya zamani ya Chato,mkoani Geita.
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Joseph Musukuma akiwasalimu wakazi wa Chato kabla ya kumkaribisha mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kuwasalimu,kujitambulisha na kuwashukuru wananchi kwa kipindi cha miaka ya 20 aliyoitumikia kama Mbunge.
 Mbunge wa Buchosa Dk.Charles Tizeba akiwasalimu wananchi wa Chato wakati wa kumtambulisha mgombea wa urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli (katikati) kwa wananchi wa Chato, Kulia ni mbunge wa viti maalumu mkoa wa Geita Mhe. Vicky Kamata.
 Mhe.Vick Kamata mbunge wa viti maalumu mkoa wa Geita akisalimu wakazi wa Chato wakati wa kumtambulisha mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.
 Richard Ndasa mbunge wa jimbo la Sumve akimpa mkono wa heri mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli kwenye kutano wa kumtambulisha kwa wananchi wa Chato.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kumtambulisha kama mgombea wa Urais na kuwaaga kwa kuwatumikia kwa miaka 20 ya ubunge.









Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wakazi wa Chato mara baada ya kumaliza mkutano wa kujitambulisha wananchi wa Chato.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

No comments: