Tangazo

September 15, 2015

MBATIA,SELASINI NA KOMU WAPELEKA MABADILIKO JIMBO LA MOSHI VIJIJINI

Viongozi wa Chadema wakiwasili katika uwanja wa Limpopo TPC kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni kwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo,Anthony Komu.
Baaadhi ya viongozi na wanachama wa Chadema wakiwa katika mkutano huo.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Rombo ,Joseph Selasini ,akizunbumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni katika jimbo la Moshi vijijini.
Wananchi wakifuatolia mkutano huo.
Mgombea Ubunge jimbo la Rombo ,Joseph Selasini akisalimiana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Vunjo,James Mbatia wakati wa uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge katika jimbo la Moshi vijijini ,Anthony Komu (Kulia).
Mwenyekiti wa Bawacha mkoa wa Kilimanjaro,Helga Mchomvu akizungumza katika uzinduzi wa kampeni jimbo la Moshi vijijini.
Mgombea Ubunge jimbo la Moshi vijijini,Anthony Komu akiteta jambo na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo ,James Mbatia wakati wa uzinduzi wa kampeni jimboni humo,kushoto ni mgombea udiwani katika kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmary.
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ,Chadema,Emanuel Mlacky akizungumza katika mkutano huo.
Mbunge wa Vitimaalumu anayemaliza muda wake,Grace Kihwelu akizungumza katika mkutano huo.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akizungumza katika mkutano huo.
Mbatia akimtamburisha mgombea udiwani katika kata ya Arusha Chini,Rojas Mmary mbele ya wapiga kura.
Mbatia akimtamburisha mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi vijijini,Anthony Komu katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika kata ya Arusha chini TPC.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi vijijini,Anthony Komu akizungumza katika uzinduzi wa mkutano huo.
Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo,James Mbatia  akitamburisha familia ya Anthony Komu.


Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini (0755659929).

No comments: