Tangazo

October 1, 2015

INNOCENT SHIRIMA AFANYA UZINDUZI WA KAMPENI ZA KUWANIA UBUNGE KATIKA JIMBO LA VUNJO

Baadhi ya wanachama wa CCM wakishangilia katika uzinduzi wa kampeni za Chama hicho zilizofanyika katika uwanja wa Polisi Himo.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM ,Innocent Shirima akisalimiana na wananchi mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo.
Kada wa Chama cha Mapinduzi ,Job Lusinde akisalimiana na kada mwenzake ,Novatus Makunga ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Moshi.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro,Juma Idd akizungumza katka mkutano huo.
Kada wa Chama cha Mapinduzi,Lusinde akizunumza katika mkutano huo.
Kada wa Chama cha Mapinduzi na mgombea Ubunge katika jimbo la Simanjiro,Christopher Ole Sendeka akihutubia katika uzunduzi wa kampeni za Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo,Innocent Shirima akikimbia mara baada ya kuitwa Jukwaani.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo,Innocent Shirima akipokea kifimbo kutoka kwa wazee wa Mila ,mbele ya kada wa Chama cha Mapinduzi,Christopher Ole Sendeka.
Kada wa Chama cha Mapinduzi,Christopher Ole Sendeka akimtamburisha mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo,Innocent Shirima mbele ya wananchi waliohudhuria uzinduzi wa kampeni hizo.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo,Innocent Shirima akizungumza wakati wa uzunduzi wa kampeni katika jimbo la Vunjo.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria uzunduzi wa mkutano huo.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments: