Tangazo

March 9, 2016

MGODI WA BULYANHULU WAALIKA WANAWAKE KUJIONEA UCHIMBAJI MADINI YA DHAHABU CHINI YA ARDHI


Mfanyakazi wa mgodi wa kuchimba dhahabu wa Bulyanhulu, unaomilikiwa na kampuni ya Acacia, akiwa na baadhi ya akina mama sehemu ya uchimbaji chini ya ardhi (underground mining), wakati akina mama wa vijiji vinavyozunguka mgodi huo na wafanyakazi wa kike walipotembelea ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya wanawake Duniani, leo Machi 8, 2016. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)

No comments: