Tangazo

June 27, 2016

BENKI YA CRDB YAFADHILI UJENZI WA KITUO CHA MAWASILIANO CHA JESHI LA POLISI

 Jiwe la Msingi la Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi lililowekwa na Rais Dk. John Magufuli. Kituo hicho kimefadhiliwa na Benki ya CRDB kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 300. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiteta jambo na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Esther Kitoka.
Brass Band ya Polisi ikitumbuiza katika hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Masauni akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba akisalimia na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (wa kili kulia) akifurahia jambo na Naibu wake (kulia), IGP,Ernest Mangu, wapili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisalimia na Rais John Magufuli.
 Rais John Magufuli akisalimia na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Esther Mwambapa.
 Mkurugenzi wa Utawala wa Benki ya CRDB, Beatus Segeja akisalimiana na Rais Dk. John Magufuli
 Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Esther Kitoka akisalimiana na Rais Dk. John Magufuli.
 Rais John Magufuli akizindua rasmi Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi Dar es Salaam.
 Rais Magufuli akipata maelezo ya namna kituo hicho kinavyofanyakazi.
  Rais Magufuli akipata maelezo ya namna kituo hicho kinavyofanyakazi.
 Wakurugenizi wa Benki ya CRDB wakifuatilia uzinduzi huo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei akitoa hotuba yake.
Rais John Magufuli akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei baada ya kutoa hotuba yake. 
 Rais John Magufuli akifurahia jambo wakati akimkabidhi Tuzo ya Ufadhili Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi, uliofanyika katika viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. ambapo benki hiyo imetoa zaidi ya shs. milioni 300. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba. 
 Rais John Magufulia (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Serikli. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei.

No comments: