Tangazo

November 16, 2016

MAZISHI YA MAREHEMU MZEE RICHARD BINAGI YAFANYIKA JIJINI DAR

Mazishi ya Mzee Richard Binagi (88) aliyefariki dunia Jumanne Novemba 08,2016 Jijini Dar es salaam baada ya kuugua, yamefanyika jana Jumamosi Novemba 12,2016 nyumbani kwake Kipunguni Jijini Dar es salaam. Alikuwa askari mstaafu wa JWTZ.
Na BMG
Taratibu za kuuaga mwili wa Mzee Binagi zikifanyika
Askari wa JWTZ wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mzee Richard Binagi
Askari wa JWTZ wakiusindikiza malaloni mwili wa Mzee Richard Binagi
Gwaride la heshima
Gwaride la heshima
Askari wa JWTZ wakitoa heshima zao 
Wanafamilia (Profesa Lloyd Binagi na mkewe) wakiweka shada la maua
Wanafamilia (Mzee Chacha Binagi na mkewe) wakiweka shada la maua
Wanafamilia (Mama Binagi) akiweka shada la maua
Wanafamilia (Zakari Binagi na mkewe) wakiweka shada la maua
Wanafamilia wakiweka shada la maua
Wanafamilia wakiweka shada la maua
Wanafamilia wakiweka shada la maua
Wanafamilia
Wanafamilia
Wanafamilia
Ndugu, jamaa na marafiki
Bonyeza HAPA Kuhusu Msiba

No comments: