Tangazo

October 10, 2017

WAZIRI MPINA AANZA KAZI WIZARA MPYA YA MIFUGO NA UVUVI

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akisaini katika kitabu cha wageni cha Wizara hiyo baada ya kuripoti.

Waziri Mpina akiongea na baadhi ya watumishi wa wizara hiyo.  Katikati  ni Naibu wake, Mhe. Abdalah Ulega na (kulia)  ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk. Yohana Budeba. 
 Sehemu ya watumishi wakimsikiliza Mhe. Mpina. 
 Waziri  Mpina, akimsikiliza Katibu Mkuu wa wizara hiyo (Mifugo), Dk. Maria Mashingo. 

No comments: