Tangazo

October 27, 2011

NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI


Kocha Mkongwe wa mchezo wa Ngumi, Habibu Kinyogoli akimwelekeza mtoto Salim Mponda (5) jinsi ya kutupa makonde wakati wa mazoezi ya klabu ya ngumi ya Amana Dar es Salaam jana. (picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments: