Tangazo

February 6, 2012

JK amjulia hali CDF mstaafu

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali (mst)  Ernest Mwita Kyaro jijini Mwanza asubuhi ya leo Jauari 06, 2012. Jenerali mstaafu Kyaro, ambaye alikuwa mkuu wa majeshi katika serikali ya awamu ya kwanza, amefurahi na kumshukuru sana Rais Kikwete na mkewe kwa kutembelea. PICHA/IKULU


No comments: