Tangazo

February 22, 2012

Waziri wa Muungano Samia Suluhu atembelea ujenzi wa Taasisi ya Sayansi ya Bahari Zanzibar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan (wa pili kushoto) akitembelea Ujenzi wa Taasisi ya Sayansi ya Bahari huko Chukwani Mjini Unguja. Kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Sayanzi ya Bahari, Dk. Margare Kyewalyanga na (kushoto) ni  Dk. Narriman Jiddawi. {Picha na Ali Meja]

No comments: