Tangazo

March 29, 2014

RAIS KIKWETE APOKEA RIPOTI YA MAHESABU YA SERIKALI IKULU JIJINI DAR

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Ripoti ya mwaka ya Hesabu za Serikali kutoka kwa  Mthibiti na Mkaguzi Mkuuwa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh  Ikulu jijini Dar es salaam Machi 28.2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza muhtasari toka kwa  Mthibiti na Mkaguzi Mkuuwa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh kabla  ya kupokea Ripoti ya mwaka Ikulu jijini Dar es salaam. PICHA NA IKULU

No comments: