Tangazo

May 14, 2014

Wateja wa Airtel sasa kununua Tiketi za Ndege za Precision Air kupitia huduma ya Airtel Money

Meneja Uendeshaji wa Airtel Money, Asupya  Naligingwa (kushoto) akiongea wakati wa uzinduzii wa ushirikiano kati ya Airtel na Precision Airt utakaowawezesha wateja wa Airtel kulipia tiketi za ndege kupitita huduma ya Airtel Money. akishuhudia ni Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde na Afisa Masoko wa Precision Air, Hillary Mremi.
Meneja Uendeshaji wa Airtel Money Asupya  Naligingwa (kushoto)  na Afisa Masoko wa Precision Air, Hillary Mremi (kulia) kwa pamoja wakizindua ushirikiano kati ya kampuni hizo, utakaowawezesha wateja wa Airtel kulipia tiketi za ndege kupitita huduma ya Airtel Money. Anayeshuhudia ni Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
· Wateja wa Airtel wawezeshwa kulipia tiketi zao za ndege kwa njia rahisi na haraka zaidi

 Dar es Salaam Jumatano , Mai 7, 2014. Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imeanzisha ushirikiano na Precision Airtel utakaowawezesha wateja wake nchi nzima kununua tiketi za ndege kupitia huduma ya Airtel Money.

Ushirikiano huu utawapatia wateja wa Precision Air urahisi katika kupanga safari zao na kuwawezesha kununua ticket zao wakati wowote bila usumbufu kupitia huduma ya Airtel Money.

Akionge wakati wa uzinduzi Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde alisema “ushirikiano huu utawapatia wateja wetu wa Airtel  njia mbadala, rahisi naya uhakika ya kulipia safari zao za ndani na za nje  huku ikiwapatia watanzania na wateja wetu uzoefu tofauti wa kufanya malipo ya tiketi zao za ndege kupitia simu zao za kiganjani. 

 Kwa   kupitia huduma hii mpya  sasa wateja wetu wataweza kufanya malipo ya tiketi zao za ndege mahali popote kwa usalama  na haraka zaidi  kupitia huduma ya Airtel Money. ”

“Tutaendelea kuthibitisha dhamira yetu ya kutoa bidhaa na huduma za kibunifu huku tukiwahakikishia wateja wetu huduma bora kupitia huduma ya Airtel Money na nyinginezo wakati wote”. Aliongeza Matinde.

Akiongelea  kuhusu ushirikiano huo Afisa Masoko wa Precision Air Bwana Hillary Mremi alisema “  ushirikiano huu umekuwa kwa wakati muafaka wakati Precision  Air imejipanga kuboresha  huduma zetu na kuwapatia wateja wetu uzoefu tofauti katika huduma za ndege  huku tukihakikisha wateja wanafurahia huduma zetu zinazoenda zaidi ya matarajio yao.

Wateja wetu sasa wanaweza kufanya malipo ya tiketi zao za ndege  kwa kupitia huduma ya Airtel Money . kupitia simu zao za mkononi wateja wetu wanaweza kupiga call center au kutembelea tovuti yetu kufanya booking ya safari zao na kulipia kupitia Airtel Money na kisha kupokea tiketi yako kupitia simu yako ya mkononi” aliongeza Mremi.

Akiongea kuhusu namna ya kupata huduma hiyo Meneja uendeshaji wa Airtel Money  Asupya  Naligingwa alisema” huduma hii ni rahisi kutumia , mteja anachotakiwa kufanya ni kupiga simu na kufanya booking ya safari au kufanya booking kupitia tovuti ya Precision Air ambapo mteja atapewa namba ambayo itatumika kama reference wakati wa malipo.

Kununua tiketi kupitia Airtel Money wateja wanatakiwa kufanya yafuatayo
Piga  *150*60#
Chagua namba  5  (Lipia Bili)
Chagua namba 8 (NYINGINEZO)
Andika jina la biashara
PW
Ingiza Kiasi  cha pesa
Kumbukumbu rejea
(namba ya booking)
Ingiza neno la siri kulipa PW, Tsh xxxxx, kumbukumbu rejea namba xxxxxx
Baada ya kufanya  hayo utapokea ujumbe wenye uthibitisho wa malipo na tiketi yake ya ndege “aliongeza Nalingingwa.

Huduma ya Airtel Money ni huduma inayowawezesha wateja wa Airtel Nchi nzima kufanya malipo na miamala ya pesa kupitia pesa simu ya mkononi . kwa kupitia huduma ya Airtel money wateja wanaweza kulipia ankra  kama vile DAWASCO, LUKU, USA visa, DSTV, kulipia mikopo , kununua muda wa maongezi, kununua vifurushi vya yatosha na kutuma na kupokea pesa kutoka kwa marafiki na familia na huduma nyingine nyingi.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
 Precision Air Partners with Airtel Money for convenient ticket purchase
·Precision Air customers experience convenience in payment for travel via Airtel Money.
·Airtel Money now has an option in the menu to pay for your Precision Air ticket.

 Dar es Salaam Tuesday, May 13th 2014, Airtel Tanzania has partnered with Precision Air to enable customers purchase flight tickets countrywide using Airtel Money service. This partnership will provide to Precision Air customers flexibility and ease way of planning for their journey. This is through convenient purchase of their flight ticket using Airtel Money service from their comfort. 

“This partnership will allow our Airtel customers experience value in paying for their local, regional and international flights for Precision Air. Airtel Money will enable Tanzanians to pay for their tickets fast without waiting for long queues. This service is fast, secure and convenient.” said Jane Matinde ,Airtel Public Relation Officer.

Ms. Matinde added, “We will continue to demonstrate our commitment to offer innovative products and services while ensuring our customer best service through Airtel Money service at all times”. 

“The partnership has come at a time when Precision Air is in the quest to improve the overall customer experience. Our customers can now dial the Call Centre or visit our website, do the booking and choose the option of payment through Airtel Money. After payment is received the customer will get an electronic ticket on their mobile phone,” said Mr. Hillary Mremi Precision Air Brand and Marketing Coordinator.

Speaking on mechanics Airtel Money operation Manager Asupya Naligingwa said, “The service is set to create ease for use by all customers. All one needs to do is make a call to make a booking or make the booking online. Once you have a booking number that will be used as a reference on payment process to ensure individual ticket/s issued.”

To buy a flight ticket through Airtel Money, customers go through the following steps:
Dial *150*60#
Select Option 5 (Make Payments)
Select Option 8 (OTHERS)
Enter Business Name
PW
Enter Amount
Enter the reference number
(booking number)
Enter PIN to confirm paying PW, Tsh xxxx with reference number xxxx
You will receive message notification that your payment is successful and your ticket number “added Nalingingwa.

Airtel Money is a mobile money platform which allows customers to make payments and other non-cash transactions using money loaded in the mobile phones. Through Airtel Money service customer can pay utility bills, goods/ services i.e. DAWASCO, LUKU, USA visa, DSTV, make direct payment for savings, loan payment, buy airtime, buy Yatosha bundle and  send and receive money to family and friends.

No comments: