Tangazo

June 27, 2014

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MPYA WA MISRI, ABDEL FATTAH Al-SISI


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014. PICHA NA IKULU

No comments: