Tangazo

May 30, 2012

Airtel yaongeza Zawadi ya Milioni 143/- katika Promosheni ya 'Nani Mkali'


Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akitangaza  kuongezeka kwa  zawadi ya  hadi Milioni 143 /- katika Promosheni ya Nani Mkali itakayoendelea kwa muda wa Miezi Miwili zaidi wakati wa mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Mei 30.12. Ili kushiriki promosheni hiyo andika  neno “Mkali” tuma kwenda  15656 bure. Baada ya hapo Mteja atatumiwa maswali na kila atakapo toa jibu sahihi atapata pointi 20 na jibu lisilo sahihi pointi 10.Kila ujumbe wenye jibu utatozwa 350/- pamoja na kodi. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Airtel, Bi. Dangio Kaniki.

No comments: