Tangazo

May 30, 2012

TAIFA STARS KWENDA ABDIJAN KESHO

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amosi Makalla akimkabidhi bendera ya taifa Nahodha wa timu ya Taifa 'Taifa Stars', Juma Kaseja wakati wa kuiaga timu hiyo jijini Dar es Salaam leo. (Kwa Hisani ya Habari Mseto Blog).

No comments: