Tangazo

June 8, 2012

BABA NA MWANA

Ni mara chache sana kuwakuta kina baba wakiafrika wakiwa wamewabeba watoto zao mgongoni kama alivyofanya baba huyu wa Mkoa wa Rukwa alipokutwa na Kamera yetu leo asubuhi akikatiza maeneo ya jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo. Jina lake halikuweza kufahamika mara moja. Huu ni mfano wa kuigwa wa mapenzi ambayo kina baba wanatakiwa kuwa nayo kwa familia zao haswa watoto zao na sio tu kuwaachia kina mama kufanya kazi za kuhudumia na kulelea watoto.

No comments: