Tangazo

June 8, 2012

Masanja Mkandamizaji wa 'Ze Komdedi' arudi shamba

“Najiandaa kuingia shamba la mpunga Mbarali mwanawane! Kazi asubuhi asubuhi! Jioni unajilia vyako.” Alitweet kuambatanisha na picha.

Mwezi wa sita na wa tano ni miezi maarufu kwa mavuno ya mpunga. Miongoni mwa wakulima hao wa mpunga si mwingine ni Masanja Mkandamiza kwa Original Comedy. “Fyeka sana mpunga mwanawane! Tule wapi sasa?” ni aliongeza na kumalizia kwa kuandika, “Nimesema kumekucha! Shambani Mbarali! Pipooo! Kazi ni kazi!”

Aliamua kuchukua gari yake ndogo na kudrive hadi Mbarali kwenda kuvuna mpunga.

No comments: