Tangazo

July 20, 2012

Maiti za ajali ya MV Skagit ambazo hazijatambulika zaanza Kuzikwa na Serikali





Baadhi ya Maiti zilizookolewa kutoka katika Meli iliozama ya MV Skagit na kukosa watu wake zikipelekwa kuzikwa na Serikali katika Eneo la Kama lililotayarishwa  kwa ajili hiyo.

No comments: