Tangazo

November 8, 2012

Promosheni ya Kilimanjaro Premium Lager 100% TZ Flava yateka nchi nzima

Kikundi cha GYT kutoka DSM kikipagawisha wateja  shoo ya nguvu jukwani jijini Tanga ikiwa ni mwendelezo wa promosheni kubwa ya 100%TZ FLAVA kupitia bia yake ya Kilimanjaro kwa lengo la kuwaweka wa Tanzania pamoja kusherekea uhalisia wao.

Mpenzi wa Timu ya Yanga akikabidhiwa mpira na mtangazaji wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager baada ya kushinda maswali aliyoulizwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya 100% TZ FLAVA  kwa lengo la kuwakutanisha WaTanzania pamoja hususani wapenzi wa michezo kwani bia hiyo inadhamini timu za Simba na Yanga zenye wapenzi wengi zaidi nchini.

Mpenzi wa timu ya Yanga akiwa na furaha ya kuzawadiwa mpira na mtangazaji wa bia ya Kilimanjaro baada ya kushinda shindano la kupanga kupanga kikosi cha timu hiyo akimshinda shabiki wa Simba.

Wasanii wa Kilimanjaro Premium Lager  wakitoa burudani kabambe kupitia 100% TZ FLAVA maeneo ya Kibaha.

Shabiki wa timu ya Simba akifurahia jezi ya timu yake aipendayo.

Shabiki wa Yanga naye akifurahia zawadi yake.

Mteja wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager huko Tabora akicheza kwa hisia na kuonyesha uTanzania wake halisi.

Mshereheshaji katika Promosheni ya 100% TZ Flava, (kulia) akiwapatia zawadi ya mpira mashabiki wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager huko Mafinga mkoani Iringa.

Mteja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, (kushoto) akipokea zawadi ya mpira kutoka kwa mshereheshaji wa promosheni ya 100% TZ Flava, kupitia bia hiyo huko Mafinga Mkoa wa Iringa.

No comments: