Tangazo

July 10, 2013

MJUMBE WA NEC, CC NA MLEZI WA CCM MKOA WA SIMIYU, JERRY SILAA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI HUMO

20130708_112501_resized
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Simiyu Mh.Jerry Silaa akipokelewa na viomgozi mbalimbali wa Chama Mkoani Simiyu mara tu baada ya kuwasili mkoani humo.
20130708_112507_resized
20130708_112643_resized
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Simiyu Mh.Jerry Silaa akisaini kitabi cha wageni katika ofisi za Chama Mkoani Simiyu.
20130708_121852_resized
Mh. Jerry Silaa akiangali burudani ya ngoma (haipo pichani) mara tu baada ya kuwasili mkoani humo.
20130708_122106_resized
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Simiyu Mh.Jerry Silaa na viongozi mbalimbali wa Chama Mkoani Simiyu wakiimba nyimbo za Chama.
20130708_122154_resized
MC akitambulisha meza kwa Wanachama wa CCM mkoani Simiyu.

No comments: