Tangazo

May 20, 2014

SIKU YA UANUWAI WA UTAMADUNI DUNIANI KUADHIMISHWA MEI 21 KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Sihaba Nkinga akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Mei 20.2014, kuhusu maadhimisho ya siku ya Uanuwai wa Utamaduni Duniani inayoadhimishwa kila ifikapo tarehe 21 Mei kila mwaka. Kushoto ni Mkurugenzi Maendeleo ya Utamaduni, Prof. Hermas Mwansoko (Picha na: Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikalini WHVUM)

No comments: