Tangazo

September 8, 2014

Benki ya NBC yazindua Kampeni ya Weka Upewe awamu ya pili.

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Mussa Jallow (katikati)  Meneja  Masoko wa Benki ya NBC, Alina Maria Kimaryo (kushoto)  Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wakubwa Binafsi na Bidhaa za Kuwekeza, Andrew Massawe wakionyesha vipeperushi kuashiria uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya Weka Upewe ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Meneja Masoko wa Benki ya NBC, Alina Maria Kimaryo  (kushoto) akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kampeni ya Weka Upewe ya mwaka 2014 jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Mussa Jallow na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wakubwa Binafsi na Bidhaa za Kuwekeza, Andrew Massawe.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wakubwa Binafsi na Bidhaa za Kuwekeza, Andrew Massawe (kulia) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Weka Upewe ya mwaka huu jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja Masoko wa benki hiyo, Alina Maria Kimaryo na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Mussa Jallow.
Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa Benki ya NBC, William Kallaghe (kushoto) akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya maofisa wa benki hiyo na waandishi wa habari waliohudhuria hafla ya uzinduzi huo jijini Dar es Salaam leo.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

NBC LAUNCHES WEKA UPEWE 2014

Dar es Salaam, 
September 8th2014

NBC customers have a chance to win and own a brand new Nissan Double Cabin Pick Up after the bank launched an exciting three month savings campaign known as WekaUpewe.

The three monthNBC WekaUpewe campaignis aimed at changing the lives of Tanzanians who will have a chance to participate in a draw to win different exciting prizes such as two wheel motorbikes (famously known as Bodaboda), three wheel motorbikes (Bajajis) and the grand prize of a Nissan Double Cabin Pick Up. The draws will be conducted monthly and supervised by the Gaming Board of Tanzania.

Speaking at the press conference in Dar es Salaam today, Musa Jallow the NBC Head of Retail Banking, said the campaign will see seven customers winning these exciting prizesfrom this promotion, which is centred on the NBC Malengo Savings Account. The promotion isopen to both existing and prospective customers.

“All customers who will open a MalengoSavings account and deposit TZS 50,000 or existing customers with MalengoSavings accounts depositingTZS 50,000 or more during the campaign period of three months, will stand a chance to win these exciting prizes. To top it up, all our Malengo Savings account holders will be winners, as they are all guaranteed to get up to 7% interest on their savings”, said Musa.

He also added that NBC has decided to launch this campaign to thank and reward our customers for their support and further encouraged them to continue saving with NBC for their own prosperity. This campaign is in line with the bank’s purpose of helping people achieve their ambitions in the right way. Last year NBC managed to change lives of six Tanzanian in the first edition of the NBCWekaUpewe campaign launched in October 2013.

“We changed the lives of our six customers who participated and won different prizes in a similar campaignlast year. We are pleased with the success our customers have accomplished during the last campaign, and we are confident that they will use this campaign again to improve their savings and hence improve their financial security. Importantly, apart from winning prizes, our customers will benefit from the increased interest rates as well.”added Musa


This is the third time that NBC is launchingsuch mega campaigns. In 2012 NBClaunched a campaign dubbed “DaboMshikowakona NBC”. In 2013, the first edition of “WekaUpewe” campaign was launched with celebrated success. Thiscampaign, aims not only at encouraging a savings culture among NBC customers, but also seeks to thank and reward NBC customers for their business.

No comments: