Tangazo

November 1, 2014

KILUVYA UNITED YAIFUNGA SINZA STAR 3-0 NA KUTINGA ROBO FAINALI YA MICHUANO YA DK. MWAKA SPORTS EXTRA NDONDO CUP 2014

 Kikosi cha Kiluvya United kikifanya mazoezi mepesi kabla ya mechi yao ya Ligi ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup 2014 katika Uwanja wa Makurumla dhidi ya Sinza Star. Kiluvya United ilishinda 3-0.
  Kikosi cha Kiluvya United kikifanya mazoezi mepesi kabla ya mechi yao na Sinza Star. Kiluvya United ilishinda 3-0.
 Wachezaji wa Sinza Star wakifanya mazoezi mepesi kabla ya kuanza kwa mchezo wao na Kiluvya United.
 Wachezaji wa Kiluvya United wakisalimiana na wachezaji wa Sinza Stara kabla ya mchezo wao wa hatua ya 16 bora ya michuano ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup 2014 uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Makurumla jijini Dar es Salaam. Kiluvya United ilishinda 3-0 na kuingia hatua ya robo fainali ya michuano hiyo.  
 Kikosi cha Kiluvya United kikiwa katika picha ya pamoja.
Kikosi kamili cha timu ya Snza Star kikiwa katika picha ya pamoja.
Beki wa tmu ya Kiluvya United, Mwita Enoshi (kushoto) akiwania mpira na mshambuliaji wa Sinza Stars katika mchezo wa Ligi ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup 2014 uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Makurumla Dar es Salaam. Kiluvya ilishinda 3-0 na kutinga hatua ya robo fainali ya mchuano hiyo.
Mshambuliaji wa timu ya Kiluvya United, Haji Zege (kushoto) akichuana na beki wa Sinza Stars Charles Kaembe katika mchezo wa Ligi ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup 2014 uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Makurumla Dar es Salaam. Kiluvya ilishinda 3-0 na kutinga hatua ya robo fainali ya mchuano hiyo.

No comments: