Tangazo

November 25, 2014

WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUTOKA UBELGIJI WATEMBELEA MAENEO YA UWEKEZAJI BAGAMOYO

 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza akiukaribisha ujumbe wa Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubelgiji ambao wametembelea mkoa wa Pwani kujionea fursa za uwekezaji.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza akiongozana na ujumbe wa Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubelgiji ambao wametembelea mkoa wa Pwani kujionea fursa za uwekezaji.
  Katibu Kawala Mkoa wa Pwani, Mgeni Baruani akizungumza akizungumza wakati wa mkutano uliowakutanisha Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka nchini Ubelgiji na Uongozi wa Mkaoa wa Pwani.
 Ujumbe wa Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubelgiji ukiwa katika mkutano wa pamoja na viongozi wa Mkoa wa Pwani.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara kati ya Tanzania na Ubelgiji, Otieno Igogo.
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akizungumza wakati wa Mkutano uliowakutanisha viongozi wa mkoa huo na ujumbe wa wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Ubelgiji.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akizungumza wakati wa Mkutano uliowakutanisha viongozi wa mkoa huo na ujumbe wa wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Ubelgiji.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akizungumza wakati wa Mkutano uliowakutanisha viongozi wa mkoa huo na ujumbe wa wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Ubelgiji.
 Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk. Diodorus Buberwa Kamala akizungumza katika mkutano huo.
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk. Diodorus Buberwa Kamala akizungumza katika mkutano huo.
 Ujumbwa wa Tanzania ukiwa katika mkutano huo.
  Kamishina wa Biashara kutoka Ubalozi wa Ubelgiji nchini, Ivan Korsak akizungumza katika mkutano huo.
 Kamishina wa Biashara kutoka Ubalozi wa Ubelgiji nchini Tanzania, Ivan Korsak akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Ubelgiji na uongozi wa Mkoa wa Pwani waliofika kuangalia fursa za uwekezaji mkoani humo.
  Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza (kushoto) akifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika mkutano huo.
 Shangwe Tamala akitoa mada kuhusu vivutio vya kitalii na maeneo ya uwekezaji katika mkoa wa Pwani.
 Ujembe wa Tanzania na Ubelgiji ukiwa katika mkutano huo.
Mmoja wa wawekezaji kutoka Ubelgiji, Jean-Christophe Van Acker akizungumza wakati wa mkutano huo.
 Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubelgiji wakiwa mjini Bagamoyo wakiangalia maeneo ya uwekezaji.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza akimkabidhi zawadi, mmoja wa wawekezaji kutoka Ubelgiji, Yvan De Coninck.
Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dk. Diodorus Buberwa Kamala.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza (wa tatu kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wawekezaji kutoka Ubelgiji.
 Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), Clara Ibinya akizungumza katika mkutano huo.
 Mmoja wa wawekezaji kutoka Ubelgiji, Jean-Christophe Van Acker akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja kati ya viongozi wa Mkoa wa Pwani na ujumbe wa wafanyabiashara na wawekezaji waliotembelea maeneo ya uwekezaji Bagamoyo mkoani Pwani.  
 Kamishina wa Biashara kutoka Ubalozi wa Ubelgiji nchini, Ivan Korsak akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani.
 Jean-Christophe Van Acker akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza.
 Nikki Martine Fedorowicz akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Mko wa Pwani.
Jacques Delaunoit akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza.
 Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dk. Diodorus Buberwa Kamala akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara kati ya Tanzania na Ubelgiji, Otieno Igogo akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza. 
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza (katikati) akiwaongoza wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Ubelgiji waliotembelea eneo la ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo.
Eneo la ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani akito ufafanuzi kwa wawekezaji waliotembelea eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dk. Diodorus Buberwa Kamala.
 Eneo itakayojengwa Bandari Mpya ya Bagamoyo katika eneo la Mbegani.

Ujumbe wa Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubelgiji wakitembelea eneo la
Mamlaka ya Ukanda Maalum ya Uwekezaji (EPZA) eneo la ekari 300 la Kamal Industrial Estate mjini Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya kuangalia maeneo ya uwekezaji.

No comments: