Mkurugenzi wa African Stars Entertainment (ASET), Asha Baraka (kulia),
akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu
ushiriki wao katika onyesho la pamoja na bendi ya African Stars ‘Twanga
Pepeta’, linalotarajiwa kufanyika Machi 28 mwaka huu katika ukumbi wa Escape
One Mikocheni jijini. Kutoka (wa pili kulia) ni Kiongozi wa Twanga Pepeta,
Luiza Mbutu, Rais wa Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma”, Nyoshi El Sadat,
mwimbaji wa FM Academia, Mule Mule ‘FBI’ na Mnenguaji wa Twanga, Lilian
Internet. Viingilio katika onyesho hilo ni 15,000/- kawaida na 20,000/- kwa
VIP. PICHA ZOTE/JOHN BADI
|
No comments:
Post a Comment