Tangazo

October 5, 2015

WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA YA BENKI YA CRDB

Mkurugenzi Mtendaji wa ki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisaini kitabu cha wageni alipofika katika tawi la Azikiwe Premier wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja. Kushoto ni Mkurugenzi wa tawi hilo, Fabiola Mussula. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati) akisubiri kuwahudumia wateja wa benki hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiwahudumia wateja wa Benki ya CRDB waliofika kupata huduma katika tawi la Azikiwe Premier.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiwahudumia wateja wa Benki ya CRDB waliofika kupata huduma katika tawi la Azikiwe Premier.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiwahudumia wateja wa Benki ya CRDB waliofika kupata huduma katika tawi la Azikiwe Premier.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiwahudumia wateja wa Benki ya CRDB waliofika kupata huduma katika tawi la Azikiwe Premier.
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakisubiri kuwahudumia wateja waliofika katika tawi la Azikiwe Premier.
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakisubiri kuwahudumia wateja waliofika katika tawi la Azikiwe Premier.
Dk. Charles Kimei akiwsalimiana na wateja waliofika katika tawi la Azikiwe Premier.
Keki maalum kwa ajili ya Wiki ya Huduma Kwa Wateja.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akikata keki wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja inayoendelea katika matawi yote ya Benki hiyo. 
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussula (Katikati) akisaidiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei kukata keki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimlisha keki mteja wa benki hiyo.
Cheers kwa afya njema.
Mkurugenzi wa tawi la Premier, Fabiola Mussula akigonganisha glasi na baadhi ya wafanyakazi.
 Nyasigwa Mhagama akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Mteja wa Benki ya CRDB, Rose Rimoi akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wa benki hiyo, Kundasem Swai ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika katika Tawi la Azikiwe Premier jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mkurugenzi wa tawi la Premier, Fabiola Mussula. 
Mkurugenzi wa tawi la Premier, Fabiola Mussula (kushoto) akiwaongoza wafanyakazi wa Benki hiyo kufanya usafi katika Soko la Samaki la Feri.

Wafanyakzi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier wakifanya usafi katika Soko la Samaki la Feri jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja.

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussulu akimkabidhi vifaa vya kufanyia usafi Mkuu wa Soko la Samaki la Feri, Solomon Mushi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja wakati wafanyakazi wa benki hiyo walipofika sokoni hapo na kufanya usafi katika soko hilo, mwishoni mwa wiki.

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussulu akimkabidhi vifaa vya kufanyia usafi Mkuu wa Soko la Samaki la Feri, Solomon Mushi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja ambapo wafanyakazi wa benki hiyo walifanya usafi sokoni hapo. Kushoto ni Ofisa Afya, Dolah Minja.
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussulu (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa soko hilo pamoja na wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier.
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la azikiwe wakiwa ndani ya ngarawa baada ya kufanya usafi katika Soko la Feri.
Ngarawa ikiingizwa baharini kwa ajili ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier kuanza safari ya kutalii katika bahari ya hindi eneo la Feri baada kushiriki zoezi la kufanya usafi katika soko hilo..

Ngarawa ikiingizwa baharini kwa ajili ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier kuanza safari ya kutalii katika bahari ya hindi eneo la Feri.

Nahodha akiweka sawa chombo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier wakiwa katika bahari ya hindi eneo la Feri.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier wakiwa katika bahari ya hindi eneo la Feri baada ya kufanya usafi katika soko la samaki.

No comments: