Tangazo

March 1, 2016

TANGAZO LA MSIBA WA DK MICHAEL KISAMO

Mrs Elipina Kisamo Mlaki na Linda Kisamo wanasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Dr Michael Kisamo aliyefariki Jumapili 28/2/2016. 

Mipango ya Mazishi inafanyika Nyumbani kwake Kinondoni Mkwajuni/Sokoni Magengeni. na Mazishi yanataraji kufanyika Usangi Jumatano 2.03.2016.

Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa jina lake lihimidiwe

Ahsante kwa Ushirikiano.

No comments: