Katibu wa CWT Mkoa wa Simiyu, Said
Mselema(kulia) akizungumza na Maafisa
Elimu na Viongozi wa CWT wa Mkoa huo (hawapo pichani) katika kikao maalum cha
kutoa ufafanuzi wa agizo lililotolewa na Serikali Mkoani humo la kufanya
mabadiliko ya Walimu wakuu na Waratibu Elimu kata, ambalo liliripotiwa tofauti
katika vyombo ya habari na mitandao ya kijamii, kuwa Serikali imetangaza
kuwavua madaraka.
Baadhi ya Wajumbe wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa
Simiyu (hayupo pichani) wa kikao maalum
cha kutoa ufafanuzi wa agizo lililotolewwa na Serikali Mkoani humo la kufanya
mabadiliko ya Walimu wakuu na Waratibu Elimu kata, ambalo liliripotiwa tofauti
katika vyombo ya habari na mitandao ya kijamii. kuwa Serikali imetangaza
kuwavua madaraka.
Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu, Jumanne Sagini
akizungumza na Maafisa Elimu na Viongozi wa CWT wa Mkoa huo (hawapo pichani)
katika kikao maalum cha kutoa ufafanuzi wa agizo lililotolewa na Serikali
Mkoani humo la kufanya mabadiliko ya Walimu wakuu na Waratibu Elimu kata,
ambalo liliripotiwa tofauti katika vyombo ya habari na mitandao ya kijamii,
kuwa Serikali imetangaza kuwavua madaraka.
No comments:
Post a Comment