Tangazo

September 26, 2016

MAMIA WAMZIKA MWANAHABARI ADOLPH KIVAMWO


Waombolezaji wa kipeleka jene nyumbani kwa marehemu, Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam le tayari kwa shughuli ya kuagwa na hatimaye viwanja vya Leaders Club ambapo mwili wa marehemu ulikwenda kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam leo. 

Mwandishi wa Habari, Grace Nackso akimfariji mjane Frigeria Adolf Kivamwo wakati wa ibada fupi ya kuaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Adolf Saimoni Kivamwo enzi za Uhai wake.
Mjane Frigenia na wanawe wakiaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wanafamilia na majirani wakiaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wanafamilia wakiaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo nyumbani kwa marehemu Kivamwo, Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo nyumbani kwa marehemu Kivamwo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo nyumbani kwa marehemu Kivamwo.
Wanakwaya ya Sinai wakitumbuiza katika shughuli hiyo nyumbani kwa Marehemu Mbezi mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo nyumbani kwa marehemu Kivamwo.
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza kulipeka kwenye gari kwa kuelekea viwanja vya Leaders Club kwa shughuli ya kuagwa.
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza kulipeka kwenye gari kwa ili kuanza safari ya viwanja vya Leaders Club kwa shughuli ya kuagwa.
Waombolezaji wakeka jeneza kwenye gari tayari kwa safari ya viwanja vya Leaders Club kwa shughuli ya kuagwa.
Mjane Frigenia (kushoto) na wanawe, Arm Eliza (mwenye miwani) wakiwasili viwanja vya leaders Club.
Wanahabari wakilipokea jeneza baada ya mwili wa marehemu Kivamwo kuwasili viwanja vya vya leaders Club kwa shughuli ya kuagwa.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.
Wanakwaya ya Sinai wakitumbuiza katika shughuli hiyo.
Mjane Frigenia na wanawe, Arm, Eliza (mwenye miwani) na Miriam (kulia) wakiwa na huzuni wakati wa msiba huo.
Askofu Isaya Kiputa wa Kanisa la Pentekoste Holiness Mission akisalimiana na Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media, Dkt. Reginald Mengi (kushoto) katika viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media, Dkt. Reginald Mengiakisalimiana na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji baada ya kuwasili viwanja vya Leaders Club leo.
Mchungaji Reuben Njereka akitoa neno katiba ibada ya kuaga iliyofanyika viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam.

No comments: