CHINI NI MTIRIRIKO WA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA MSIBA
![]() |
Watoto wa Marehemu (kutoka
kushoto), Georgina, Hellen, Josephine, Esther na mjukuu Tamala, wakiwa wenye
majonzi baada ya mwili wa mpendwa wao kuwasili nyumbani.
|
![]() |
Dada wa Marehemu akilia kwa uchungu huku akisaidiwa na mjukuu Nounou. |
![]() |
Waziri wa Mambo ya Nje,
Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dk. Augustine Mahiga,
akitoa heshima za mwisho mbele ya mwili wa Marehemu kaka yake, Joseph Philip
Mahiga.
|
![]() |
Jaji Mkwawa akitoa heshima za mwisho. |
![]() |
Mmiliki wa Blog hii, John Badi akitoa heshima za mwisho. |
![]() |
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula akiweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Joseph Philip Mahiga. |
No comments:
Post a Comment