xxxxxxxx
· Kwa
sasa ndio njia rahisi na nafuu kwa vikundi vya Vicoba kupata mikopo.
· Kusambaa
nchi kote hivi karibuni.
Huduma
ya Airtel Timiza vikoba imeendelea kuwa suluhisho tosha kwa makundi ambayo
yanataka kuweka akiba na kujipatia mikopo ili kuendesha biashara zao vizuri.
Makundi
mengi ya Vikoba sasa hivi yameamua kutumia huduma ya Airtel Timiza Vikoba kwani
imewasaidia kuweka utaratibu mzuri huku serikali ikitaka vikundi vya vikoba
visambae zaidi nchini ili watu wengi waweze kufaidika.
Hivi
karibuni akizindua mradi wa vikoba katika eneo la Bunju Jijini Dar es Salaam,
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi aliwataka viongozi wa vikoba kuhaikisha
wanatanua mitandao yao ili wananchi wengi zaidi wafaidi.
“Natoa
wito kwa viongozi wa Vikoba kuhakikisha wanatanua mtandao wao wa vikoba
nchinzima ili watu wengi zaidi waweze kufaidi,” aisema Mkuu wa Wilaya.
Airtel
Timiza Vikoba imekuwa gumzo kubwa sasa hivi hasa baada ya kampuni ya Airtel
kushirikiana na Benki ya Maendeleo kuhakikisha Vikoba vinakuwa rasmi zaidi na
vinafanya shughuli zake kwa umakini zaidi tofauti na hapo mwanzo.
“Hadi
sasa tangu mradi huu uanze imeshatolewa mikopo 487 yenye thamani ya Tsh milioni
20.5 kwa wanachama wa vikoba,” alisema Ibrahim Mwangalaba ambaye ni Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya Maendeleo.
Alisema
jumla ya wateja 5,685 wameshajiunga na mfumo huu na kuunda makundi huku akaunti
mpya 1,1810 zikifunguliwa. Alitoa wito kwa wanachama zaidi kujiunga na mfumo
huo kwani ndio imekuwa suluhisho tosha kwa matatizo yanayokumba vikundi vingi
vya vikoba.
Tangu
mradi huu uzinduliwe, makundi 18,166 yenye wanachama 178, 638 yameshasajiliwa
Mwangalaba aliongeza.
Kwa
upande wake, Mkurugenzi wa Masoko na huduma ya Airtel Money wa Airtel Tanzania
Isack Nchunda alisema wanajivunia kwa kuweza kuleta suluhisho na sasa hivi
wamelenga kuhakikisha malengo ya serkali ya kuhakikisha kunakuwepo na vikoba
nchi nzima yanatimia kikamilifu.
“Makundi
mengi ya vikoba yalikuwa yanapata shida hasa katika kuweka kumbukumbu na wakati
mwingine vitabu vyao hupotea hivi kuwafanya washindwe kuwa na kumbukumbu
sahihi. Wengine walikuwa wanatunza fedha kwenye vibubu, chini ya magodoro
lakini huduma hii itawasaidia kuweka akiba zao vizuri kupitia Airtel Money
ambapo wanachama wote wanaweza kufuatilia,” alisema huku akiongeza kuwa
mwenyekiti tu ndiye mwenye mamlaka ya kuwa na nywila wanachama wanatumiwa
ripoti tu.
Alisema
huduma hii pia imesaidia kuimarisha uwazi katika makundi ya vikoba na Airtel
itaendelea kufungua milango zaidi ili kuhakikisha watu wengi zaidi hasa
wafanyabiashara wadogo wanapata huduma sahihi za kifedha.
Airtel
Timiza Vikoba ilizinduliwa miezi mitano iliyopita ikiwa na lengo la kusaidia
makundi mbalimbali kufikia malengo yao.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Airtel
Timiza Vikoba best solution to groups
· - Timiza Vikoba a quick solution for women Vicoba groups to acquire
loans
- Set to roll out countrywide
Airtel
Timiza Vikoba project has continued to be the best solution so far especially
for most groups that want to save and acquire small loans to run their
businesses.
This
comes in the wake of most groups opting to use the Airtel Timiza Vikoba service
which has helped them to be more organized in terms of their operations at a
time when the government is also advocating for an increase in the Vikoba
network around the country to ensure more small scale business people benefit.
Recently,
while launching a Vikoba project at Bunju in Dar es Salaam, the Kinondoni District
Commissioner, Ally Hapi called on Vikoba leaders to ensure they expand their
networks so that more people can benefit from this service to improve their
businesses.
“Am
calling on Vikoba leaders to ensure they expand their network all over the country
so that more business people can benefit,” said the DC.
Airtel
Timiza Vikoba service is now the talk in town as Airtel teamed up with
Maendeleo Bank to ensure more Vikoba groups become formal and operate in a more
organized way.
“So
far since this project was launched a total of 487 loans worth tsh 20.5 million
have been disbursed to different Vikoba members,” said Maendeleo Bank Managing
Director Ibrahim Mwangalaba.
He
said cumulatively 5,685 unique customers have joined and created groups with
1,810 new accounts opened at Maendeleo Bank and appealed to more members to use
the Timiza Vikoba service as it has proved to be the best solution for the
well-being of their groups.
Since
the launch, Mwangalaba says 18,166 unique groups have started their registration
on the system with a potential of 178,638 group members.
Airtel
Tanzania Marketing Director Isack Nchunda Said they were proud to be seen as a
solution to the Vikoba problems that most groups were experiencing and their
focus is to ensure the government’s target to have more parts of the country
covered by Vikoba is well achieved.
“Most
groups were struggling to keep records in books and at times they lose them and
cannot keep track of their balances, some kept money in boxes, others under
mattresses and so on but with Airtel Timiza Vikoba all this has changed as all
savings are kept in Airtel Money where all members can trace the balances,” he
said adding that only the chairman has the password but members receive
updates.
‘“We
are happy to see this great response which indicates that our customers are
pleased with this innovative service that is aimed at enhancing and simplifying
transaction activities for Vikoba groups of between 5 and 100 members’, added
Nchunda.
He
said this has enhanced a lot of transparency among Vikoba groups and that
Airtel will continue opening more doors to ensure more people especially small
scale businesses get proper financial services in their groups.
Airtel
Timiza Vikoba was launched with the aim of helping groups realize their dreams
in a more effective way.
Airtel's
Timiza Vicoba was launched five months ago with the aim of helping groups
realize their dreams in a more effective way.
No comments:
Post a Comment