Tangazo

October 10, 2017

WASHINDI WA PROMOSHENI YA COCA-COLA WAKABIDHIWA ZAWADI

Mshindi wa kitita cha 100,000/-Abdul Khalfan (kulia) akipokea fedha zake kutoka kwa Meneja wa Masoko na Mauzo wa Coca-Cola,Mwanza,Samwel Makenge
Washindi wa promosheni ya Mchongo chini ya kizibo wakiwa na zawadi zao baada ya kukabidhiwa jijini Mwanza jana.
Mshindi wa Televisheni, Fred Charles akipokea zawadi aliyojishindia kutoka kwa Meneja wa Masoko na Mauzo wa Coca-Cola, Mwanza-Samwel Makenge
.Mshindi Davis Gombanila akikabidhiwa zawadi ya televisheni
Mshindi Rashid Mlobelo akikabidhiwa kitita cha shilingi 100,000/-alizojishindia.

No comments: