| Mkurugenzi wa kampuni ya Vision Investments, Ally Nchahaga akitoa ufafanuazi wa jambo kwa waandishi wa habari. Vision Investments ndio walioandaa maonyesho hayo. |
| Uwanjani nako mambo yalikuwa kama hivi.... |
| Mgeni rasmi, Bw. Deo Ndunguru akiendelea kutembelea mabanda mbalimbali. |
| Hapa alikuwa katika banda la YUASA. Kushoto ni Mratibu wa maonyesho hayo, Bw, Ally Nchahaga. |
| Hapa alikuwa Mogas Lublicants. |
| Hapa ni katika banda la VETA. |
No comments:
Post a Comment