| Hongereni Serengeti Breweries.Makofi ya kuashiria furaha ya uzinduzi. |
| Cheers to everybody.........Mfalme amerudi tena..... Imechujwa kwa ubaridi kukupa ladha safi kabisa. |
| Mmoja wa Innovation Team akigonga cheers na Mgeni rasmi baada ya uzinduzi rasmi. |
| Innovation Team katika picha ya pamoja. Hongereni kwa kazi nzuri. |
| Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Serengeti Breweries Bi. Teddy Mapunda akimkaribisha mgeni rasmi. |
| Sasa imezinduliwa rasmi. |
No comments:
Post a Comment