Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika stendi ya mabasi Katoro, Geita jana. |
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kushoto) akikaribishwa kuhutubia na Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi ya mabasi, Katoro, Geita. |
Kina mama wakimshangilia aliyekuwa Katibu wa Uenezi wa CHADEMA Kata ya Katoro Anastazia Marwa baada ya kutangaza kuhamia CCM katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana. |
Msanii wa muziki wa kizazi kipya John Mass, akionyesha umahiri wake, alipotumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika jana kwenye Stendi ya Mabasi, Katoro, Geita. |
Nape, Mwigulu na Mbunge wa Mtera Livimgstone Lusinde wakitoka katika mkutano huo, uliofanyika Stendi ya Mabasi, Katoro, Geita. (Picha zote na Bashir Nkoromo). |
No comments:
Post a Comment