Tangazo

March 26, 2012

MKUTANO WA CCM WATIKISA NGOME YA CHADEMA MAJI YA CHAI

Mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akiumba kura kwa wananchi waliofurika kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Maji ya Chai jimboni humo, jana. eneo hilo linadaiwa kuwa ndiyo ngome ya CHADEMA.

Wafuasi wa CCM wakishangilia wakati wa mkutano huo.

No comments: