Tangazo

June 2, 2012

WAZIRI MKUU PINDA KATIKA MKUTANO WA SADC LUANDA ANGOLA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kulia)  wakizungumza na Rais wa Zambia, Michael Santa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi  Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC uliofanyika Juni 1, 2012, Luanda Angola. Mheshimiwa Pinda alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia katika mazungumzo kati yake na Waziri Mkuu wa Kwanza wa Namibia, Hage Geigob wakati walipokutana  katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC, Luanda , Angola Juni 1, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: