Tangazo

November 6, 2012

RAIS KIKWETE AZINDUA MIRADI YA BARABARA MANYONI-ITIGI-CHAYA na ISSUNA-MANYONI MKOANI SINGIDA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi barabara ya Issuna-Manyoni akiwa na viongozi wa serikali na wa TANROADS pamoja na wabunge wa mkoa wa Singida

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua ujenzi wa Barabara ya Manyoni-Itigi-Chaya mkoani Singida.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa  Barabara ya Manyoni-Itigi-Chaya mkoani Singida.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua  ujenzi wa Barabara ya Manyoni-Itigi-Chaya mkoani Singida. Pembeni yake kulia ni Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na viongozi wa serikali na wa kampuni ya ujenzi baada ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Manyoni-Itigi-Chaya mkoani Singida.

Sehemu ya barabara mpya karibu na mji wa Manyoni iliyozinduliwa na Rais Kikwete

Sehemu ya barabara mpya iliyozinduliwa na Rais Kikwete mkoani Manyara.PICHA NA IKULU

No comments: