Tangazo

June 28, 2014

Airtel yazindua simu mpya aina ya iPhone 5s

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Bi. Beatrice Singano Mallya (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati Kampuni ya Airtel kwa kushirikiana na Apple ilipofanya uzinduzi wa simu mpya ya iPhone 5s pamoja na ofa kabambe kwa wateja wa Airtel, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Ofa hiyo itawawezesha wateja wa Airtel kupata sms 5000, muda wa maongezi dakika 1500 pamoja na kifurushi cha internet cha 3GB. Wanaoshuhudia ni Meneja Masoko wa Airtel, Prisca Tembo ( kulia) na wafanyakazi wa kitengo cha huduma kwa wateja wa kampuni ya Apple.
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

· Airtel Tanzania ni kampuni ya kwanza ya mawasiliano nchini kuingia mkataba wa ushirikiano na Apple

Dar es Saalam , Juni 2014 Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayoongoza kwa huduma bora na nafuu leo imetangaza ushirika wake na kampuni kubwa inayotengeneza simu za mkononi ya Apple.

Airtel imeweka historia kwa kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiiliano nchini Tanzania kuingia mkataba na Apple kupitia simu ya iPhone S5.

Akiongea wakati wa uzinduzi wa simu huo jijini Dar es Saalam Meneja Masoko wa Airtel Bi Prisca Tembo alisema” leo tunazindua  simu ya iPhone 5s na kuwapatia wateja wetu ofa kabambe ya vifurushi vya muda wa maongezi , ujumbe mfupi na internet. Mteja atakaponunua simu ya iphone S5 atapata kifurushi cha internet cha 3GB, dakika 1450 za maongezi na SMS 5000 kwa mwezi. Natoa wito kwa watanzania na wateja wetu kutumbelea maduka yetu na mawakala wetu ili kuweza kujipatia simu hii.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Mawasiliano Bi, Beatrice Singano alisema “Uzinduzi huu leo utato fulsa kwa wateja wetu  kupata uzoefu tofauti wa huduma zetu na kuwawezesha  kuendelea kufurahia huduma yetu ya SWITCH on , huduma ambayo imezinduliwa ili kuwawezesha wateja wetu kupata internet yenye kasi zaidi bila kikomo kupitia mtandao wa Airtel”
“Simu hii ya iPhone 5s itawawezesha wateja wetu pia kupiga picha, kutuma video na kuwaunganisha na marafiki na familia .
Ili kupata maelezo zaidi kuhusu ofa hii ya simu ya iPhone 5s tembelea tovuti ya www.apple.com/phonealiongeza mmbando
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Airtel officially unveils the iPhone 5s in Tanzania
  • Airtel Tanzania gives special offers of the IPhone 5s to its esteemed customers.
  • Airtel Tanzania to be the first telecommunication company in Tanzania to sign dealership with Apple
Dar es Salaam, June, 2014 Airtel Tanzania, a telecommunication company with the most affordable and quality network has today announced a strategic partnership with the giant mobile phone maker, Apple.
Airtel creates history as it becomes the first mobile services provider in Tanzania to officially seal a partnership deal with Apple on iPhone 5s products as it officially unveils the iPhone 5s.

Speaking at the unveiling ceremony of the modern iPhone 5s smart phone in Dar es Salaam, Airtel Marketing Manager Prisca Tembo said “we are happy to announce the launch of the iPhone S5 to our customers and Tanzanian that comes with a special bundle offers of 3GB data, 1,450 Minutes, 5,000 SMS, per month. With this offer we appeal to our customer to visit all Airtel outlets and our recommended Airtel retail dealers to purchase the phone at an amazing price. 

On his part Airtel Communicatins Director Beatrice Singano said Today’s  launch will give Airtel customers the best experience that allows them continuously enjoy and adapt to their needs being on data, voice, pictures and video as they engage and connect with friends and family. iPhone S5 will also enable our customers to enjoy our existing data services SWITCH On on the Airtel platform. The Switch On campaign was recently launched in Tanzania purposely to offer our customers super-fast Internet services non-stop on their devices. 

 For more information on iPhone, please visit: www.apple.com/iphone.   

No comments: